Skip to content
Zaburi 112:10

Zaburi 112:10

Inaonyesha mstari 10 pamoja na muktadha unaouzunguka.
7
Hataogopa habari mbaya, moyo wake ni thabiti, ukimtegemea Bwana.
8
Moyo wake ni salama, hatakuwa na hofu, mwishoni ataona ushindi dhidi ya adui zake.
9
Ametawanya vipawa vyake kwa ukarimu akawapa maskini; haki yake hudumu milele; pembe yake itatukuzwa kwa heshima.
10
Mtu mwovu ataona na kuchukizwa, atasaga meno yake na kutoweka, kutamani kwa mtu mwovu kutaishia patupu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options