Rukia maudhui
Zaburi 107:1-3

Wito wa Kumsifu Bwana Mkombozi

Zaburi 107:1-3
1
Mshukuruni Bwana, kwa kuwa yeye ni mwema, upendo wake wadumu milele.
2
Waliokombolewa wa Bwana na waseme hivi, wale aliowaokoa kutoka mkono wa adui,
3
wale aliowakusanya kutoka nchi mbalimbali, kutoka mashariki na magharibi, kutoka kaskazini na kusini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options