Rukia maudhui
Mithali 6:1-3

Mithali 6:1-3

1
Mwanangu, kama umekuwa mdhamini wa jirani yako, ikiwa umeshika mikono kwa kuweka ahadi kwa ajili ya mwingine,
2
kama umetegwa na ulichosema, umenaswa kwa maneno ya kinywa chako,
3
basi fanya hivi mwanangu, ili ujiweke huru, kwa kuwa umeanguka mikononi mwa jirani yako: Nenda ukajinyenyekeshe kwake; msihi jirani yako!
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options