21
Kwa maana njia za mtu ni wazi kabisa mbele za Bwana, naye huyapima mapito yake yote.
22
Matendo mabaya ya mtu mwovu humnasa yeye mwenyewe; kamba za dhambi yake humkamata kwa nguvu.
23
Atakufa kwa kukosa nidhamu, akipotoshwa kwa upumbavu wake mwenyewe.