Rukia maudhui
Mithali 30:21-23

Mithali za Namba: Misukosuko Isiyovumilika

Mithali 30:21-23
21
“Kwa mambo matatu nchi hutetemeka, naam, kwa mambo manne haiwezi kuvumilia:
22
Mtumwa awapo mfalme, mpumbavu ashibapo chakula,
23
mwanamke asiyependwa aolewapo, naye mtumishi wa kike achukuapo nafasi ya bibi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options