Rukia maudhui
Mithali 30:15-17

Mithali za Namba: Vitu Visivyotosheka

Mithali 30:15-17
15
“Mruba anao binti wawili waliao, ‘Nipe! Nipe!’ “Kuna vitu vitatu visivyotosheka kamwe, naam, viko vinne visivyosema, ‘Yatosha!’:
16
Ni kaburi, tumbo lisilozaa, nchi isiyoshiba maji kamwe, na moto, usiosema kamwe, ‘Yatosha!’
17
“Jicho lile limdhihakilo baba, lile linalodharau kumtii mama, litangʼolewa na kunguru wa bondeni, litaliwa na tai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options