Rukia maudhui
Mithali 3:1-4

Ishike Sheria, Upate Kibali

Mithali 3:1-4
1
Mwanangu, usisahau mafundisho yangu, bali zitunze amri zangu moyoni mwako,
2
kwa kuwa zitakuongezea miaka mingi ya maisha yako na kukuletea mafanikio.
3
Usiache kamwe upendo na uaminifu vitengane nawe; vifunge shingoni mwako, viandike katika ubao wa moyo wako.
4
Ndipo utapata kibali na jina zuri mbele za Mungu na mwanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options