Skip to content
Mithali 3:5-8

Mtumaini BWANA kwa Moyo Wako Wote

Mithali 3:5-8
5
Mtumaini Bwana kwa moyo wako wote wala usizitegemee akili zako mwenyewe;
6
katika njia zako zote mkiri yeye, naye atayanyoosha mapito yako.
7
Usiwe mwenye hekima machoni pako mwenyewe; mche Bwana ukajiepushe na uovu.
8
Hii itakuletea afya mwilini mwako, na mafuta kwenye mifupa yako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options