20
Hivyo utatembea katika njia za watu wema na kushikamana na mapito ya wenye haki.
21
Kwa maana wanyofu wataishi katika nchi, nao wasio na lawama watabakia ndani yake.
22
Bali waovu watakatiliwa mbali kutoka nchi, nao wasio waaminifu watangʼolewa kutoka humo.