Rukia maudhui
Hesabu 30:1-2

Utangulizi wa Sheria ya Nadhiri

Hesabu 30:1-2
1
Mose akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo Bwana analoagiza:
2
Mwanaume awekapo nadhiri kwa Bwana, au anapoapa kujifunga kwa ahadi, kamwe asitangue neno lake, bali ni lazima afanye kila kitu alichosema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options