Skip to content
Hesabu 29:39-40

Hesabu 29:39-40

39
“ ‘Zaidi ya kile unachoweka nadhiri na sadaka zenu za hiari, andaeni hizi kwa ajili ya Bwana kwenye sikukuu zenu zilizoamriwa: sadaka zenu za kuteketezwa, sadaka za nafaka, sadaka za vinywaji, pamoja na sadaka zenu za amani.’ ”
40
Mose akawaambia Waisraeli yale yote Bwana alimwagiza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options