Skip to content
Hesabu 30:1-2

Hesabu 30:1-2

1
Mose akawaambia viongozi wa makabila ya Israeli: “Hili ndilo Bwana analoagiza:
2
Mwanaume awekapo nadhiri kwa Bwana, au anapoapa kujifunga kwa ahadi, kamwe asitangue neno lake, bali ni lazima afanye kila kitu alichosema.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options