- English
- King James KJV
- Complete Jewish CJB
- World English WEBM
- Berean Standard BSB
- American Standard ASV
- Geneva GNV
- Young's Literal YLT
- Douay-Rheims DRC
- International
- Shqip ALB
- العربية SVD
- বাংলা BN-IRV
- မြန်မာ Judson
- 简体文 CUV-S
- 繁體中文 CUV-T
- Čeština BKR
- Nederlands STVE
- Français LSG
- Deutsch SCH
- Ελληνικά Vamvas
- ગુજરાતી GU-IRV
- Hausa HCB
- עברית Hebrew
- हिन्दी HCV
- Magyar KAROLI
- Bahasa Indonesia INDO-TB
- Italiano Diodati
- 日本語 Kougo
- 한국어 Korean
- മലയാളം MAL
- मराठी MRCV
- Norsk DNB
- فارسی OPV
- Polski BG
- Português Almeida
- Română Cornilescu
- Русский Synodal
- Español RVG
- Kiswahili Neno
- Svenska SV1917
- Tagalog TAG-ADB
- தமிழ் TCV
- తెలుగు TSA
- ภาษาไทย THAI-KJV
- Українська Ohienko
- Tiếng Việt CADMAN
- Yorùbá YCB
Orodha ya Waliorudi
Nehemia 7:6-38
6
Hawa ndio watu wa jimbo waliotoka uhamishoni, ambao Nebukadneza mfalme wa Babeli alikuwa amewachukua mateka (walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye mji wake,
7
wakiwa wamefuatana na Zerubabeli, Yeshua, Nehemia, Azaria, Raamia, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispereti, Bigwai, Nehumu na Baana): Orodha ya wanaume wa Israeli ilikuwa:
8
wazao wa Paroshi 2,172
9
wazao wa Shefatia 372
10
wazao wa Ara 652
11
wazao wa Pahath-Moabu (wa jamaa ya Yeshua na Yoabu) 2,818
12
wazao wa Elamu 1,254
13
wazao wa Zatu 845
14
wazao wa Zakai 760
15
wazao wa Binui 648
16
wazao wa Bebai 628
17
wazao wa Azgadi 2,322
18
wazao wa Adonikamu 667
19
wazao wa Bigwai 2,067
20
wazao wa Adini 655
21
wazao wa Ateri (kupitia Hezekia) 98
22
wazao wa Hashumu 328
23
wazao wa Besai 324
24
wazao wa Harifu 112
25
wazao wa Gibeoni 95
26
watu wa Bethlehemu na Netofa 188
27
watu wa Anathothi 128
28
watu wa Beth-Azmawethi 42
29
watu wa Kiriath-Yearimu, Kefira na Beerothi 743
30
watu wa Rama na Geba 621
31
watu wa Mikmashi 122
32
watu wa Betheli na Ai 123
33
watu wa Nebo 52
34
wazao wa Elamu 1,254
35
wazao wa Harimu 320
36
wazao wa Yeriko 345
37
wazao wa Lodi, Hadidi na Ono 721
38
wazao wa Senaa 3,930
Settings