Nehemia 7:39-60
39
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
40
wazao wa Imeri 1,052
41
wazao wa Pashuri 1,247
42
wazao wa Harimu 1,017
43
Walawi: wazao wa Yeshua (kupitia Kadmieli kupitia jamaa ya Hodavia) 74
44
Waimbaji: wazao wa Asafu 148
45
Mabawabu wa malango: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 138
46
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
47
wazao wa Kerosi, Sia, Padoni,
48
wazao wa Lebana, Hagaba, Shalmai,
49
wazao wa Hanani, Gideli, Gahari,
50
wazao wa Reaya, Resini, Nekoda,
51
wazao wa Gazamu, Uza, Pasea,
52
wazao wa Besai, Meunimu, Nefusimu,
53
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
54
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
55
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
56
wazao wa Nesia na Hatifa.
57
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Soferethi, Perida,
58
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
59
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Amoni.
60
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Settings