Rukia maudhui
Mathayo 26:47-50

Mathayo 26:47-50

47
Alipokuwa bado anazungumza, Yuda, mmoja wa wale Kumi na Wawili, akafika. Alikuwa amefuatana na umati mkubwa wa watu wenye panga na marungu, waliokuwa wametumwa na viongozi wa makuhani na wazee wa watu.
48
Basi msaliti alikuwa amewapa hao watu ishara, kwamba: “Yule nitakayembusu ndiye. Mkamateni.”
49
Mara Yuda akamjia Yesu na kumsalimu, “Salamu, Rabi!” Akambusu.
50
Yesu akamwambia, “Rafiki, fanya kile ulichokuja kufanya hapa.” Kisha wale watu wakasogea mbele, wakamkamata Yesu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options