Rukia maudhui
Mathayo 18:10-14

Thamani ya Wadogo (Kondoo Aliyepotea)

Mathayo 18:10-14
10
“Angalia ili usimdharau mmojawapo wa hawa wadogo, kwa maana nawaambia, malaika wao mbinguni daima wanauona uso wa Baba yangu aliye mbinguni. [
11
Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kuokoa kile kilichopotea.]
12
“Mwaonaje? Ikiwa mtu ana kondoo mia moja, na mmoja wao akapotea, je, hatawaacha wale tisini na tisa vilimani na kwenda kumtafuta huyo mmoja aliyepotea?
13
Naye akishampata, amin, nawaambia, hufurahi zaidi kwa ajili ya huyo kondoo mmoja kuliko wale tisini na tisa ambao hawakupotea.
14
Vivyo hivyo, Baba yenu wa mbinguni hapendi hata mmojawapo wa hawa wadogo apotee.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options