Rukia maudhui
Marko 14:10-11

Yuda Akubali Kumsaliti Yesu

Marko 14:10-11
10
Kisha Yuda Iskariote, mmoja wa wale wanafunzi kumi na wawili, akaenda kwa viongozi wa makuhani ili kumsaliti Yesu kwao.
11
Walifurahi sana kusikia jambo hili na wakaahidi kumpa fedha. Hivyo yeye akawa anatafuta wakati uliofaa wa kumsaliti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options