Rukia maudhui
Luka 1:1-4

Kusudi na Dibaji ya Luka

Luka 1:1-4
1
Kwa kuwa watu wengi wamekaa ili kuandika habari za mambo yaliyotukia katikati yetu,
2
kama vile yalivyokabidhiwa kwetu na wale waliokuwa mashahidi walioyaona na watumishi wa Bwana,
3
mimi nami baada ya kuchunguza kila kitu kwa uangalifu kuanzia mwanzo, niliamua kukuandikia habari za mambo hayo, ewe mtukufu Theofilo,
4
ili upate kujua ukweli kuhusu yale uliyofundishwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options