Yoshua 19:41-47
41
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43
Eloni, Timna, Ekroni,
44
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47
(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
Settings