Skip to content
Yoshua 19:41-47

Yoshua 19:41-47

41
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43
Eloni, Timna, Ekroni,
44
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
47
(Lakini Wadani walipata shida kulimiliki eneo lao; kwa hiyo walipanda kuishambulia Leshemu, wakaitwaa, wakawaua watu wake kwa upanga na kuukalia. Walikaa Leshemu na kuuita Dani kufuatana na jina la baba yao.)
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options