Yoshua 19:40-46
40
Kura ya saba ikaangukia kabila la Dani, ukoo kwa ukoo.
41
Eneo la urithi wao lilijumuisha: Sora, Eshtaoli, Iri-Shemeshi,
42
Shaalabini, Aiyaloni, Ithla,
43
Eloni, Timna, Ekroni,
44
Elteke, Gibethoni, Baalathi,
45
Yehudi, Bene-Beraki, Gath-Rimoni,
46
Me-Yarkoni na Rakoni, pamoja na eneo linalotazamana na Yafa.
Settings