Skip to content
Yoshua 15:33-47

Yoshua 15:33-47

33
Kwenye shefela ya magharibi: Eshtaoli, Sora, Ashna,
34
Zanoa, En-Ganimu, Tapua, Enamu,
35
Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka,
36
Shaaraimu, Adithaimu na Gedera (au Gederothaimu); yote ni miji kumi na minne, pamoja na vijiji vyake.
37
Senani, Hadasha, Migdal-Gadi,
38
Dileani, Mispa, Yoktheeli,
39
Lakishi, Boskathi, Egloni,
40
Kaboni, Lamasi, Kitlishi,
41
Gederothi, Beth-Dagoni, Naama na Makeda; yote ni miji kumi na sita pamoja na vijiji vyake.
42
Libna, Etheri, Ashani,
43
Yifta, Ashna, Nesibu,
44
Keila, Akzibu na Maresha; yote ni miji tisa pamoja na vijiji vyake.
45
Ekroni, pamoja na viunga vyake na vijiji vyake;
46
magharibi ya Ekroni, maeneo yote yaliyokuwa karibu na Ashdodi, pamoja na vijiji vyake;
47
Ashdodi, miji yake na vijiji vyake na Gaza viunga vyake na vijiji vyake, hadi kufikia Kijito cha Misri na Pwani ya Bahari Kuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options