Rukia maudhui
Ayubu 38:36-38

Chanzo cha hekima na riziki idumishayo

Ayubu 38:36-38
36
Ni nani aliyeujalia moyo hekima au kuzipa akili ufahamu?
37
Nani mwenye hekima ya kuyahesabu mawingu? Ni nani awezaye kuinamisha magudulia ya mbinguni
38
wakati mavumbi yawapo magumu, na mabonge ya udongo kushikamana pamoja?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options