39
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?