Skip to content
Ayubu 38:39-41

Ayubu 38:39-41

39
“Je, utamwindia simba jike mawindo, na kuwashibisha simba wenye njaa
40
wakati wao wamejikunyata mapangoni mwao, au wakivizia kichakani?
41
Ni nani ampaye kunguru chakula wakati makinda yake yanamlilia Mungu, yakizungukazunguka kwa ajili ya kukosa chakula?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options