Rukia maudhui
Ayubu 38:1-3

BWANA amjibu Ayubu katika tufani

Ayubu 38:1-3
1
Kisha Bwana akamjibu Ayubu kutoka upepo wa kisulisuli. Akasema:
2
“Nani huyu atiaye mashauri yangu giza kwa maneno yasiyo na maarifa?
3
Jikaze kama mwanaume; nitakuuliza swali, nawe unijibu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options