Rukia maudhui
Ayubu 35:1-4

Elihu azipinga madai ya Ayubu

Ayubu 35:1-4
1
Ndipo Elihu akasema:
2
“Je, unadhani hili ni haki? Wewe unasema, ‘Nina haki mbele za Mungu.’
3
Bado unamuuliza, ‘Ni faida gani nimepata, na imenifaidi nini kwa kutokutenda dhambi?’
4
“Ningependa nikujibu wewe pamoja na marafiki zako walio pamoja nawe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options