Rukia maudhui
Ayubu 30:3-7

Ayubu 30:3-7

3
Wakiwa wamekonda kutokana na kupungukiwa na kwa njaa, walizurura usiku katika nchi kame iliyo ukiwa.
4
Katika vichaka walikusanya mimea ya chumvi, nacho chakula chao kilikuwa mizizi ya mti wa mfagio.
5
Walifukuzwa mbali na watu wao, wakipigiwa kelele kama wevi.
6
Walilazimika kuishi katika mikondo ya vijito vilivyokauka, kwenye majabali na mahandaki.
7
Kwenye vichaka walilia kama punda, na walijisongasonga pamoja kwenye vichaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options