Skip to content
Ayubu 18:2

Ayubu 18:2

Inaonyesha mstari 2 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Bildadi Mshuhi akajibu:
2
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
5
“Taa ya mwovu imezimwa, nao mwali wa moto wake umezimika.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options