Skip to content
Ayubu 18:1

Ayubu 18:1

Inaonyesha mstari 1 pamoja na muktadha unaouzunguka.
1
Bildadi Mshuhi akajibu:
2
“Je, ni lini utafika mwisho wa maneno haya? Uwe mwenye busara, nasi ndipo tutakapoweza kuongea.
3
Kwa nini sisi tunafikiriwa kama wanyama, na kuonekana wajinga machoni pako?
4
Wewe unayejirarua mwenyewe vipande vipande katika hasira yako, je, dunia iachwe kwa ajili yako wewe? Au ni lazima miamba iondolewe mahali pake?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options