Rukia maudhui
Isaya 56:1-2

Wito wa Haki na Utii

Isaya 56:1-2
1
Hili ndilo asemalo Bwana: “Dumisheni haki na mkatende lile lililo sawa, kwa maana wokovu wangu u karibu na haki yangu itafunuliwa upesi.
2
Amebarikiwa mtu yule atendaye hili, mtu yule alishikaye kwa uthabiti, yeye ashikaye Sabato bila kuinajisi, auzuiaye mkono wake usifanye uovu wowote.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options