Rukia maudhui
Isaya 5:18-19

Ole Wanaoshikamana na Dhambi

Isaya 5:18-19
18
Ole wao wanaovuta dhambi kwa kamba za udanganyifu na uovu kama kwa kamba za mkokoteni,
19
kwa wale wanaosema, “Mungu na afanye haraka, aharakishe kazi yake ili tupate kuiona. Huo mpango wa Aliye Mtakatifu wa Israeli na ukamilike, tena udhihirike ili tupate kuujua.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options