Skip to content
Isaya 5:16-17

Mungu Ametukuzwa katika Hukumu

Isaya 5:16-17
16
Lakini Bwana Mwenye Nguvu Zote atatukuzwa kwa ajili ya haki yake, naye Mungu Mtakatifu atajionyesha mwenyewe kuwa mtakatifu kwa haki yake.
17
Kondoo watajilisha kwenye malisho yao wenyewe, wana-kondoo watajilisha katika magofu ya matajiri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options