Rukia maudhui
Isaya 12:4-6

Mwito wa Kushuhudia na Kusifu Ulimwenguni

Isaya 12:4-6
4
Katika siku hiyo mtasema: “Mshukuruni Bwana, mliitie jina lake; julisheni miongoni mwa mataifa yale aliyoyafanya, tangazeni kuwa jina lake limetukuka.
5
Mwimbieni Bwana, kwa kuwa ametenda mambo makuu, hili na lijulikane duniani kote.
6
Pazeni sauti mwimbe kwa furaha, watu wa Sayuni, kwa maana mkuu ni yeye Aliye Mtakatifu wa Israeli miongoni mwenu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options