Skip to content
Isaya 12:1-3

Wimbo wa Shukrani Binafsi

Isaya 12:1-3
1
Katika siku ile utasema: “Nitakusifu wewe, Ee Bwana. Ingawa ulinikasirikia, hasira yako imegeukia mbali nawe umenifariji.
2
Hakika Mungu ni wokovu wangu; nitamtumaini wala sitaogopa. Bwana, Bwana, ni nguvu zangu na wimbo wangu; amekuwa wokovu wangu.”
3
Kwa furaha mtachota maji kutoka visima vya wokovu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options