Rukia maudhui
Mwanzo 5:21-24

Henoko aenda pamoja na Mungu

Mwanzo 5:21-24
21
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22
Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
23
Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
24
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options