Skip to content
Mwanzo 5:25-32

Mwanzo 5:25-32

25
Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.
26
Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
27
Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.
28
Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.
29
Akamwita jina lake Noa, akasema, “Yeye ndiye atakayetufariji katika kazi na maumivu makali ya mikono yetu yaliyosababishwa na ardhi iliyolaaniwa na Bwana.”
30
Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
31
Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.
32
Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options