21
Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.
22
Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.
23
Enoki aliishi jumla ya miaka 365.
24
Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.