Rukia maudhui
Mwanzo 48:21-22

Unabii wa Mwisho wa Yakobo na Zawadi

Mwanzo 48:21-22
21
Ndipo Israeli akamwambia Yosefu, “Mimi ninakaribia kufa, lakini Mungu atakuwa pamoja nanyi, na atawarudisha katika nchi ya baba zenu.
22
Kwako wewe, kama aliye juu ya ndugu zako, ninakupa sehemu moja zaidi ya ndugu zako, lile eneo nililoteka kwa Waamori kwa upanga wangu na upinde wangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options