मुख्य मजकुरावर जा
Mwanzo 49:1-2

Yakobo Awakusanya Wanawe kwa Unabii

Mwanzo 49:1-2
1
Ndipo Yakobo akawaita wanawe na kusema: “Kusanyikeni kunizunguka ili niweze kuwaambia lile litakalowatokea siku zijazo.
2
“Kusanyikeni na msikilize, enyi wana wa Yakobo, msikilizeni baba yenu Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options