Rukia maudhui
Mwanzo 23:3-6

Abrahamu aomba mahali pa kumzika

Mwanzo 23:3-6
3
Ndipo Abrahamu akainuka kutoka pale penye maiti ya mke wake. Akazungumza na Wahiti, akasema,
4
“Mimi ni mpitaji na mgeni miongoni mwenu. Niuzieni sehemu ya ardhi yenu ili niweze kumzika maiti wangu.”
5
Wahiti wakamjibu Abrahamu,
6
“Bwana, tusikilize. Wewe ni mtawala mkuu sana miongoni mwetu. Zika maiti wako katika kaburi unalolipenda kati ya makaburi yetu. Hakuna mtu wa kwetu atakayekuzuia kaburi lake ili kuzika maiti wako.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options