Rukia maudhui
Mwanzo 1:3-5

Siku ya kwanza: Nuru na giza

Mwanzo 1:3-5
3
Mungu akasema, “Iwepo nuru,” nayo nuru ikawepo.
4
Mungu akaona ya kuwa nuru ni njema, ndipo Mungu akatenganisha nuru na giza.
5
Mungu akaiita nuru “mchana,” na giza akaliita “usiku.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options