Skip to content
Mwanzo 1:6-8

Mwanzo 1:6-8

6
Mungu akasema, “Iwepo nafasi kati ya maji igawe maji na maji.”
7
Kwa hiyo Mungu akafanya nafasi, akatenganisha maji yaliyo chini ya hiyo nafasi na maji yaliyo juu yake. Ikawa hivyo.
8
Mungu akaiita hiyo nafasi “anga.” Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya pili.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options