Rukia maudhui
Kutoka 22:16-17

Sheria Kuhusu Makosa ya Ngono

Kutoka 22:16-17
16
“Kama mtu akimshawishi bikira ambaye hajaposwa na akilala naye, lazima alipe mahari, kisha atamwoa msichana huyo.
17
Baba wa msichana akikataa katakata kumpa huyo mtu huyo msichana wake, bado ni lazima huyo mtu atalipa mahari kama inavyostahili malipo ya ubikira.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options