Rukia maudhui
Matendo 12:24-25

Neno la Mungu lakua

Matendo 12:24-25
24
Lakini neno la Mungu likaendelea mbele na kuenea, nao wengi wakaambatana nalo.
25
Barnaba na Sauli walipomaliza ile huduma yao iliyowapeleka, wakarudi Yerusalemu wakiwa pamoja na Yohana aitwaye Marko.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options