Rukia maudhui
1 Samweli 8:4-6

Israeli Wadai Mfalme

1 Samweli 8:4-6
4
Basi wazee wote wa Israeli wakakusanyika pamoja na kumjia Samweli huko Rama.
5
Wakamwambia, “Wewe umekuwa mzee, nao wanao hawaenendi katika njia zako, sasa tuteulie mfalme wa kutuongoza, kama ilivyo kwa mataifa mengine yote.”
6
Lakini wao waliposema, “Tupe mfalme wa kutuongoza,” hili lilimchukiza Samweli, hivyo akamwomba Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options