Skip to content
1 Samweli 8:1-3

1 Samweli 8:1-3

1
Samweli alipokuwa mzee, akaweka wanawe kuwa waamuzi wa Israeli.
2
Mzaliwa wa kwanza alikuwa Yoeli, na la wa pili lilikuwa Abiya, nao wakatumika huko Beer-Sheba.
3
Lakini wanawe hawakuenenda katika njia zake. Waliziacha wakageukia faida za udanganyifu nao wakapokea rushwa na kupotosha haki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options