Rukia maudhui
1 Wakorintho 7:8-9

Ushauri kwa Wasiooa na Wajane

1 Wakorintho 7:8-9
8
Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
9
Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options