Skip to content
1 Wakorintho 7:10-11

1 Wakorintho 7:10-11

10
Kwa wale waliooana nawapa amri (si mimi ila ni Bwana): Mke asitengane na mumewe.
11
Lakini akitengana, ni lazima akae bila kuolewa, ama sivyo apatane tena na mumewe. Wala mume asimpe mkewe talaka.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options