Skip to content
1 Wakorintho 7:8-9

1 Wakorintho 7:8-9

8
Kwa wale wasiooa na kwa wajane, nasema hivi, ingekuwa vizuri wasioe.
9
Lakini kama hawawezi kujizuia, basi waoe na kuolewa, kwa maana ni afadhali kuoa au kuolewa kuliko kuwaka tamaa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options