Rukia maudhui
1 Nyakati 1:5-7

Wazao wa Yafethi

1 Nyakati 1:5-7
5
Wana wa Yafethi walikuwa: Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
6
Wana wa Gomeri walikuwa: Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
7
Wana wa Yavani walikuwa: Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options