Skip to content
1 Nyakati 1:8-16

1 Nyakati 1:8-16

8
Wana wa Hamu walikuwa: Kushi, Misraimu, Putu na Kanaani.
9
Wana wa Kushi walikuwa: Seba, Havila, Sabta, Raama na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa: Sheba na Dedani.
10
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikua akawa mtu shujaa katika nchi.
11
Misraimu akawazaa: Waludi, Waanami, Walehabi, Wanaftuhi,
12
Wapathrusi, Wakasluhi (hao ndio asili ya Wafilisti) na Wakaftori.
13
Wana wa Kanaani walikuwa: Sidoni, mzaliwa wake wa kwanza, na Hethi,
14
Wayebusi, Waamori, Wagirgashi,
15
Wahivi, Waariki, Wasini,
16
Waarvadi, Wasemari na Wahamathi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options